Mabingwa
watetezi wa ligi kuu ya England jana wameanza vibaya kampeni yao ya kutetea
taji lao baada ya kukubali kichapo ndani ya uwanja wake wa nyumbani wa Stamford
Bridge kutoka kwa Burnley.
Pamoja
na kichapo hicho Chelsea wamepata kadi mbili nyekundu kwa wachezaji wao nyota.
Kadi hizo
walipewa Fabrigas na beki tegemeo kwa sasa Cahil.
Mpaka
sasa Chelsea ipo nafasi ya 16 baada ya mchezo huo mmoja huku timu iliyopanda
daraja msimu huu ya Huddersfield Town ikionja utamu wa kukalia kiti cha uongozi
wa ligi kuu ya England.
Matokeo
ni kama yanavyoonekana hapo chini:
Watford
3 - 3 Liverpool
Chelsea
2 - 3 Burnley
Crystal
Palace 0 - 3 Huddersfield Town
Everton
1 - 0 Stoke City
Southampton
0 - 0 Swansea City
West
Bromwich Albion 1 - 0 AFC Bournemouth
Brighton
& Hove Albion 0 - 2 Manchester City
RATIBA YA LEO JUMAPILI AUGUST 13, 2017:
ENGLAND - PREMIER LEAGUE AUGUST 13
Newcastle
United vs Tottenham Hotspur 15:30
Manchester
United vs West Ham United 18:00
Millionaire Ads
0 Comment untuk "Matokeo ya ligi kuu ya England (EPL) siku ya jana August 12 pamoja na Ratiba ya leo juapili august 13"