Millionaire  Ads

TFF wataja muda mmoja kumaliza ligi kuuTanzania Bara VPL may 20, timu zote


Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), tunafahamisha kuwa mechi za mwisho za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2016/2017zitachezwa kuanzia saa 10.00 jioni bila kujali kama jua linawahi au kuchelewa kuzama.


Muda huo umepangwa ili kuhakikisha timu zote zinamaliza mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara zinamalizika siku moja ya Mei 20, mwaka huu na kwa muda mmoja, ikiwa ni pamoja na kudhibiti viashiria vyo vyote vya upangaji wa matokeo.

source TFF
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comment untuk "TFF wataja muda mmoja kumaliza ligi kuuTanzania Bara VPL may 20, timu zote"

Back To Top