Millionaire  Ads

Hesabu za Serengeti Boys ili kuingia Nusu Fainali na kupata Tikeki ya kombe la Dunia

Timu Ya taifa ya Tanzania chini Ya miaka 17 Serengeti Boys hesabu zake zipo hivi
Mali amfunge angola wakati huo huo Tanzania wapate Droo, 
Ili Tanzania itoke basi ifungwe 2- 0 na Niger,
kinyume cha hapo ni ndumu kuitoa Tanzania.
Maajabu ya kundi hili ni hivi endapo Mali itafungwa 2- 1 na Angola, Tanzania ikafungwa 2 -1 na Niger basi kila timu zitalingana kila kitu na itabidi irushwe shilingi


Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comment untuk "Hesabu za Serengeti Boys ili kuingia Nusu Fainali na kupata Tikeki ya kombe la Dunia"

Back To Top