Millionaire  Ads

AHMAD AHMAD ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA SOKA SENEGAL BAADA YA AJALI MBAYA UWANJANI




Rais wa CAF atuma salamu zake za rambirambi kwa rais wa shirikisho la Soka la Senegela kufuatia tukio baya michezoni ambapo watu 8 walifariki katika Uwanja wa Demba Diop ulioko Dakar siku ya jumamosi july 15 2017 kwenye fainali ya kombe la ligi nchini Senegal na kujeruhi wengine zaidi ya 90.

Katika mchezo baina ya Stade de Mbour na Union Sportive Ouakam, timu ya Mbour ilitwaa taji hilo baada ya kuichapa Union Sportive Ouakam goli 2 – 1.

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "AHMAD AHMAD ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA SOKA SENEGAL BAADA YA AJALI MBAYA UWANJANI"

Back To Top