Millionaire  Ads

‘RONALDO’ ATUA MBEYA CITY



Timu ya Mbeya city imemnasa mshambuliaji hatari wa timu ya Misosi Fc Idd Selemani  alimaarufu‘Ronaldo’ kwa mkataba wa miaka miwili.
Awali mchezaji huyo alihusishwa kutakiwa na Singida UTD lakini dili hilo lilikwama Kutokana na kutokubaliana baadhi ya mambo ya kimaslahi.

Ronaldo aliwahi kuzichezea timu mbalimbali za ligi daraja la kwanza ikiwemo Ashanti United na Kinondoni Manicipal Council ‘ KMC’.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "‘RONALDO’ ATUA MBEYA CITY"

Back To Top