Millionaire  Ads

RATIBA LIGI DARAJA LA KWANZA HADHARANI


Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetangaza makundi matatu ya Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara maarufu kama (FDL).
Ligi daraja la kwanza ina jumla ya timu 24 katika mgawanyo wa timu 8 nane zitakazochuana msimu huu wa 2017/18 kuwania nafasi tatu muhimu za kupanda daraja na kucheza Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu wa 2018/19.


Makundi Yapo Hivi:
 KUNDI ‘A’
1) African Lyon ya Dar es Salaam
2)  Ashati United ya Dar es Salaam
3) Friends Rangers ya Dar es Salaam
4) JKT Ruvu ya Pwani
5) Kiluvya United ya Pwani
6) Mgambo JKT ya Tanga,
7) Mvuvumwa ya Kigoma  
8) Polisi Moro ya Morogoro.
KUNDI ‘B’

1) Coastal Union ya Tanga
2) JKT Mlale ya Ruvuma
3) KMC ya Dar es Salam
4)  Mawezi Market ya Morogoro
5) Mbeya Kwanza ya Mbeya
6) Mufundi United ya Iringa
7) Mshikamano ya Dar es Salaam
8) Polisi Dar ya Dar es Salaam

KUNDI ‘C’

1) Alliance School ya Mwanza
2) Pamba ya Mwanza
3) Toto African ya Mwanza
4) Rihno Rangers ya  Tabora
5) Polisi Mara ya Mara
6) Polisi Dodoma ya Dodoma
7) Transit Camp ya Shinyanga
8) JKT Oljoro ya Arusha
ligi hiyo inatarajiwa kuanza baadaye mwezi ujao.

Wakati huohuo TFF imeviagiza vilab vya Ashant,KMC,Polisi Dar na Friends Rangers kutaja viwanja vyao watakavyovitumia kwa mujibu wa kanuni ya 6(1) ya ligi kuu na ile kanuni ya 11 inasisitiza kila timu ili ipate leseni lazima iwe na kiwanja cha mechi ya nyumbani.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk " RATIBA LIGI DARAJA LA KWANZA HADHARANI"

Back To Top