Millionaire  Ads

YANGA YAMALIZANA NA MBADALA WA NIYONZIMA.



KIUNGO Mkabaji Mkongo Papy Kabamba Tshishimbi (27) anayekipiga Mbambane Swallows ya Swaziland, amefanyiwa vipimo mara baada ya kukamilisha uhamisho wa kutua Yanga SC.

Tshishimbi amefuzu vipimo hivyo na tayari atasaini mkataba wa kuitumikia timu hiyo ya mitaa ya jangwani.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "YANGA YAMALIZANA NA MBADALA WA NIYONZIMA."

Back To Top