Mchezaji wa zamani wa timu ya Simba
ya Tanzania Abdi Banda ambae anacheze ligi kuu nchini Afrika Kusini ametua
kambini walipoweka kambi Simba SC na kukutana na baadhi ya wachezaji na
viongozi na makocha wa timu hiyo.
Banda ambae amesajiliwa na timu ya
Baroka FC kwa mkataba wa miaka 3 amesema kuwa hatoweza kuisahau timu ya Simba
kwani ndio iliyompa mwanga wa mafanikio haya aliyoyapata kwa sasa.
Banda alionekana kutupia picha
mbalimbali
Millionaire Ads
0 Comment untuk " Banda atua mazoezini Simba kuwapa hi"