Millionaire  Ads

Fainali ni Yanga B na Tanzania Prisons kombe la hisani



Michuano ya Hisani ya kuchangia mfuko wa UKIMWI inahitimishwa kesho wakati timu ya Yanga B itakapomenyena na Tanzania Prisons.
Tanzania Prisons wamefanikiwa kutinga fainali baada ya leo kuifunga timu ya Simba B kwa mikwaju ya penati 8 – 7 baada ya sare ya 1 – 1 ndani ya dakika 90.

Yanga B wao waliitoa Mbeya City hapo jana baada ya kuilaza kwa goli 3 – 0.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Fainali ni Yanga B na Tanzania Prisons kombe la hisani"

Back To Top