Millionaire  Ads

MSUVA ASAINI MIAKA MITATU ALJADIDA


Mfungaji bora wa ligi kuu Tanzania Bara ambae pia alikuwa ni mshambuliaji wa timu ya Yanga Saimon Msuva ametua Morocco na kusaini mkataba wa miaka 3 kuitumikia timu ya Difaa Al Jadida ambayo ni makamo bingwa wa nchini Morocco.
Msuva anaungana na Mtanzania mwenzake Ramadhani Singano katika timu hiyo ambayo Singano alishaanza kuichezea mchezo wa kirafiki.

Difaa inashiriki ligi ya mabingwa barani Afrika hivyo tutegemee kuwaona watanzania hawa wakifungua milango ya mafanikio kwa wachezaji wengine wazawa kupata ulaji nje ya nchi


Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "MSUVA ASAINI MIAKA MITATU ALJADIDA"

Back To Top