Millionaire  Ads

Barcelona kidume Miami Elclassico, yaitandika Real Madrid 3 – 2, na kutwaa kikombe






Barcelona wametwaa ubingwa wa ligi ya ICC kituo cha marekani baada ya alfajiri ya leo kuwafunga mahasimu wao wakubwa katika soka timu ya Real Madrid.
Barcelona wamefikisha pointi 9 katika michezo 3 na hivyo kutwaa kombe hilo.
Magoli ya Barcelona yamefungwa na Messi 3’ Ivan Rakitic 7, na Gerard Pique 50,

Wakati magoli ya Real Madrid  yakifungwa na Mateo Kovacic 14, na Marco Asensio 36’.


Mchezaji bora wa mchezo alikuwa ni Gerard Pique.

Matokeo mengine:
Manchester City 3–0 Tottenham Hotspur
Stones Goal 10'
Sterling Goal 72'
Díaz Goal 90+1
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Barcelona kidume Miami Elclassico, yaitandika Real Madrid 3 – 2, na kutwaa kikombe"

Back To Top