Millionaire  Ads

Papy Kabamba Tshishimbi amesaini mkataba wa miaka 2 kuitumikia Yanga SC


 Kiungo huyo mkabaji raia wa Kongo anataraji kurejea kwao hapo kesho na kuripoti kambini wiki ijayo tayari kuanza kutumikia mkataba wake Jangwani.
Mchezaji huyo jana alifanyiwa vipimo na alifuzu hivyo leo amepewa mkataba rasmi wa kuitumikia timu ya Yanga.

Kiungo huyo mkabaji huenda akatibu tatizo la kiungo mkabaji linaloikabili timu ya Yanga kwa muda mrefu sasa, alihusishwa Jonas Mkude wa timu ya Simba ikashindikana.

 akahusishwa Himid Mao lakini mpaka sasa haijulikani imeishia.


Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Papy Kabamba Tshishimbi amesaini mkataba wa miaka 2 kuitumikia Yanga SC"

Back To Top