Millionaire  Ads

SINGANO AANZA KUITUMIKIA ALJADIDA:



Mshambuliaji mpya wa timu ya Difaa Hassan El Jadida ya Morocco, Mtanzania Ramadhani Singano ‘Messi’ juzi ameanza kuitumikia timu yake hiyo ilipokuwa inacheza mchezo wa kirafiki na timu ya Olympic Club de Safi (OCS) katika mchezo wa kirafiki ambao Aljadida walichezea kichapo cha goli 3 – 0.
Singano amejiunga na Aljadida akitokea timu ya Azam baada ya mkataba wake kumalizika.
Ikumbukwe na mtanzania mwingine Saimon Msuva atajiunga na timu hiyo na kufanya ndani ya timu hiyo kuwa na wachezaji wawili wa Tanzania.

Pengine huenda tukawaona mawinga hao wawili wakiwa kikosi cha kwanza kwenye michuano mbalimbali ikiwemo ligi ya mabingwa Afrika.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "SINGANO AANZA KUITUMIKIA ALJADIDA:"

Back To Top