Millionaire  Ads

Kaseke na chirwa kikaangoni kwenye Kamati ya Nidhamu ya TFF



Wachezaji Deus kaseke na Obrey Chirwa wameitwa na kamati ya nidhamu ya TFF ili kujitetea katika sakata lao la kumsukuma mwamuzi katika mchezo wa mwisho wa ligi kuu Tanzania Bara msimu uliomalizika.
Kaseke ambae ni mchezaji wa Singida Utd msimu uliopita aliitumikia Yanga kabla ya msimu huu kusajiliwa na Singida Utd.
Kaseke tayari yupo Dar  na ameungana na Chirwa kwa ajili ya kujibu tuhuma zinazowakabili
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Kaseke na chirwa kikaangoni kwenye Kamati ya Nidhamu ya TFF"

Back To Top