RAIS WA TIMU YA Simba na
makamu wake leo wameshindwa tena kwemye kesi yao na kurudishwa rumande hadi September
8.
Hakimu mkazi wa mahakama ya
kisutu Victoria Nongwa amesema
leo mahakamani hapo kwamba ameiahirisha kesi hiyo ili kupisha uchunguzi wa nyaraka
zilizokusanywa.
Hakimu huyo amewataka mawakili wa upande wa Serikali kufanye haraka kufuatilia nyaraka zilizokusanywa, ili kesi hiyo ianze kusikilizwa.
Aveva na Kaburu wanakabiliwa na mashitaka matano yakiwemo ya utakatishaji fedha, ambayo hayana dhamana na wote wapo rumande gereza la Keko tangu Juni 29.
Wawili hao leo waliletwa tena Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, Dar es Salaam kwa mara ya saba tangu Takukuru ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) iwatie hatiani na kusomewa tena mashitaka hayo kabla ya Hakimu Victoria Nongwa kuiahirisha tena kesi hiyo hadi Agosti 16, mwaka huu.
Millionaire Ads
Hakimu huyo amewataka mawakili wa upande wa Serikali kufanye haraka kufuatilia nyaraka zilizokusanywa, ili kesi hiyo ianze kusikilizwa.
Aveva na Kaburu wanakabiliwa na mashitaka matano yakiwemo ya utakatishaji fedha, ambayo hayana dhamana na wote wapo rumande gereza la Keko tangu Juni 29.
Wawili hao leo waliletwa tena Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, Dar es Salaam kwa mara ya saba tangu Takukuru ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) iwatie hatiani na kusomewa tena mashitaka hayo kabla ya Hakimu Victoria Nongwa kuiahirisha tena kesi hiyo hadi Agosti 16, mwaka huu.
0 Comment untuk "AVEVA KABURU MAMBO MAGUMU, WARUDISHWA TENA RUMANDE HADI SEPT 8"