Timu
ya Genk ya Ubeligiji jana usiku imepoteza mchezo wake wa ligi kuu nchini humo
maarufu kama Belgium - First Division A kwa kutandikikwa goli 2 – 1 na timu ya Standard
Liege.
Mchezo
huo ambao ulikuwa na jumla ya kadi 7 za njano huku kadi nne zikienda kwa Genk
na tatu zikienda kwa Standard Liege.
Genk
ndio walikuwa wa kwanza kupata goli mnamo Dakika ya 36, kupitia kwa Siebe
Schrijvers baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Bryan Heynen.
Dakika
tano badae Samatta alionywa kadi ya njano baada ya kucheza mchezo mchafu.
Standard
Liege walijipatia magoli yao kupitia kwa Edmilson Junior 48’ na Paul-Jose
M'Poku 63’
Genk
wanaendelea wanabaki nafasi ya 11 na pointi 1 baada ya mechi 2, huku Standard
Liege wao wakikaa kileleni baada ya kufikisha ponti 4 katika mechi 2.
Millionaire Ads
0 Comment untuk "KRC GENK ya Mbwana Samatta yachezea kichapo, Samatta akilamba kadi ya njano"