Millionaire  Ads

Mo Farah atetea ubingwa wake wa mita 10000 kwa mara ya 3



Mwingereza mwenye asili ya Somalia Mo Farah ameuthibitishia ulimwengu kuwa yeye habahatishi kwenye mbio za mita 10000 baada ya jana kuwazidi ujanja wanariadha wa Afrika mashariki.

Mwingereza huyo amemshinda Joshua Cheptegei wa Uganda alieshika nafasi ya pili na mkenya Paul Tanui
Mpaka sasa rekodi ya kutwaa medali nyingi za Dhahabu inashikiliwa na mjamaica Usain Bolt mwenye medal 11.
Jedwali linajinyesha:



Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Mo Farah atetea ubingwa wake wa mita 10000 kwa mara ya 3"

Back To Top