Millionaire  Ads

Lipuli yaibomoa Kagera,pia yanasa beki kitasa wa Simba.



Timu iliyopanda daraja msimu huu kutoka mkoani Iringa timu ya Lipuli inaendelea na harakati zake za kuimarisha kikosi baada ya kuwanyakuwa wachezaji wazoefu na ligi kuu Tanzania bara.
Lipuli imemnasa Husein Sharif ‘Casillas’ toka Kagera Sugar na NOvalty Lufunga toka Simba
Mpaka sasa lipuli imewanasa baadhi ya wachezaji wazoefu toka timu mbalimbali za ligi kuu, wachezaji hao ni Malim Busungu, Salum Machaku na Asante Kwasi.

Huu ni muendelezo mzuri kwa timu zilizopanda daraja msimu huu, kuzamiria kufanya kweli kwenye ligi kuu ya Vodacom inayotarajiwa kutimua vumbi August 26 mwaka huu.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Lipuli yaibomoa Kagera,pia yanasa beki kitasa wa Simba."

Back To Top