Millionaire  Ads

Uncle Ngasa, huyooooo jangwani ndie mrithi wa msuva


Mrisho Ngassa yupo mbioni kukamilisha dili lake la kuichezea Yanga SC, taarifa zinasema kuwa Mabingwa hao wa Tanzania watampa Ngassa mkataba wa mwaka mmoja.
Uuncle leo alionekana mitaa ya jangwani na washabiki walimfuata na kumshangilia kama mfalme.
Muda wowote kabla ya saa 5:59 usiku ,Ngassa atatangazwa rasmi kuwa mmoja wa wachezaji watakaoitumikia Yanga kwa msimu wa 2017/2018 Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Uncle Ngasa, huyooooo jangwani ndie mrithi wa msuva "

Back To Top