Millionaire  Ads

CAF WAINYANG’ANYA KENYA KUANDAA CHAN MWAKANI

Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika CAF kupitia kamati ya utendaji ya Shirikisho hilo chini ya Rais wa CAF Ahmad Ahmad wameiondolea uenyeji nchi ya Kenya kuandaa kombe la mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani CHAN.

Sababu za kuipoka uenyeji Kenya imeelezwa kuwa ni  kusua sua kwa miundo mbinu ya viwanja ambapo mpaka sasa kamati imebaini kuwa ni kiwanja kimoja tu ndio kimekamilika.

Pia suala la kisiasanchini Kenya huenda pia ikawa ni sababu nyingine ya kamati hiyo kuamua kuinyima uenyeji nchi hiyo.

Nchi ambazo huenda michuano hii ikahamishiwa ni Afrika Kusini au Morocco 





Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk " CAF WAINYANG’ANYA KENYA KUANDAA CHAN MWAKANI"

Back To Top