Millionaire  Ads

Philippe Coutinho na Paulinho waendeleza wimbi la ushindi, brazil 2 Ecuador 0, Chile ya Sanchez yachezea 3 kwa 0





Leo huko barani Amerika imepigwa michezo kadhaa ya kufuzu kwa kombe la Dunia.
Brazil ambayo imeshafuzu imeikaribisha timu ya taifa ya Ecuador na kuiadhibu kwa goli 2 kwa 0.
Goli la kwanza la Brazil limefungwa na Paulinho baada ya kazi nzuri ya toka kwa kiungo wa Chelsea Willian mnamo dakika ya 69
.
Goli la pili lilifungwa na mchezaji ambae ameviteka vyombo vya habari akihusishwa kuhamia timu ya Barcelona ya Hispania Philippe Coutinho dakika ya 76 kufuatia kazi nzuri ya Gabriel Jesus.
Katika mchezo huu Coutinho aliingia dakika ya 58 kuchukua nafasi ya Renato Augusto.
Brazil leo walitumia mtindo wa 4-1-4-1
Matokeo mengine ya CONMEBOL Qualification leo September 1 ni kama yanavyoonekana:
Venezuela vs Colombia0 - 0
Chile vs Paraguay0 – 3

Magoli: Arturo Vidal (OG) 24’, Victor Caceres 55’ na Richard Ortiz 90’

Uruguay vs Argentina 0 - 0
Peru vs Bolivia2 - 1
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Philippe Coutinho na Paulinho waendeleza wimbi la ushindi, brazil 2 Ecuador 0, Chile ya Sanchez yachezea 3 kwa 0"

Back To Top