Millionaire  Ads

Wayne Rooney ashikiliwa na polisi baada ya kuendesha akiwa amelewa


Mshambuliaji wa Everton Wayne Rooney, amekamatwa na polisi nchini Uingereza kwa kosa la kuendesha gari akishukiwa kuwa amelewa.
Rooney ambae ni mfungaji bora wa miaka yote wa timu ya taifa ya England alikumbwa na mkasa huo jana alhamisi akiwa karibu na nyumbani kwake huko Cheshire akitokea viwanja na wadau wake.
Rooney ambae amestaafu  kuitumikia timu yake ya Taifa akiwa ameifungia magoli 53 katika michezo 119 aliyocheza.



Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Wayne Rooney ashikiliwa na polisi baada ya kuendesha akiwa amelewa"

Back To Top