Millionaire  Ads

Tshishimbi jukwaani mechi ijayo kati ya Yanga na Mtibwa


Kiungo mkabaji Papy Tshishimbi ataukosa mchezo ujao wakati Yanga itakapoivaa Mtibwa Sugar.

Yanga itaivaa Mtibwa Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Jumamosi ijayo September 30.


Ataukosa mchezo huo baada ya kupata kadi tatu za njano.


Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Tshishimbi jukwaani mechi ijayo kati ya Yanga na Mtibwa"

Back To Top