Millionaire  Ads

Ligi kuu Tanzania Bara kuendelea leo jumamosi, Yanga bila Tambwe kuivaa Ndanda Taifa


Ligi kuu Tanzania Bara kuendelea leo jumamosi, Yanga bila Tambwe kuivaa Ndanda Taifa.
Raundi ya nne ligi kuu Tanzania bara inaendelea leo baada ya alhamisi kuishuhudia timu ya Mbao ya Mwanza ikitoka sare ya 2 – 2 na kikosi cha Simba.
Katika Uwanja wa taifa Ndanda ambao wameanza kuimarika baada ya kuvuna pointi nne mkoani Mbeya wanakutana na timu ya Yanga ambayo bado haijatengamaa kisawasawa katika dimba la Uhuru jijini Dar es salaam.
Wachezaji wote wa yanga wote wapo kamili isipokuwa Tambwe peke yake.
Majimaji vs Njombe mji

Mwadui Vs Prisons.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Ligi kuu Tanzania Bara kuendelea leo jumamosi, Yanga bila Tambwe kuivaa Ndanda Taifa"

Back To Top