Millionaire  Ads

Kuwaona Chirwa, Tambwe, Tshishimbi Shilingi 3000 Chamanzi leo


leo majira ya saa moja usiku mabingwa wa ligi kuu tanzania bara timu yanga wanashusha injini zake ndani uwanja wa Chamanzi kumenyena na timu ya Manispaa ya Kinondoni (KMC).
Mchezo huo ambao ni maalumu kwa ajili ya kutafta mapato ya ukarabati wa uwanja wa mazoezi wa kilabu ya Yanga.


viingilio katika mchezo huo ni Tsh 3000 kwa mzunguko na Tsh 5000 kwa VIP.

Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Kuwaona Chirwa, Tambwe, Tshishimbi Shilingi 3000 Chamanzi leo"

Back To Top