Millionaire  Ads

SADIO MANE NJE WIKI 6,KUUKOSA MCHEZO WA LIVERPOOL DHIDI YA MANCHESTER UNITED WIKIENDI HII


Mchezaji tegemeo kwa sasa kwa timu ya Liverpool msenegal Sadio Mane atakaa nje kwa muda wa wiki 6.
Hii inatokana na kuumia katika mchezo wa kufuzu kwa fainali za kombe la Dunia kati ya Senegal na Cape Verde.
Tukio hilo lilitokea dakika ya 89 na kumfanya mchezaji huyo kutolewa nje.
Katika mchezo huo Senegal ilishinda goli 2 – 0 kwa magoli ya Diafra Sakho 81', Cheikh Ndoye 90'.

Kwa mantiki hiyo Mane ataukosa mchezo muhimu kati ya Manchester United na Liverpool mchezo wa ligi kuu nchini England wikiendi hii.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "SADIO MANE NJE WIKI 6,KUUKOSA MCHEZO WA LIVERPOOL DHIDI YA MANCHESTER UNITED WIKIENDI HII"

Back To Top