Mechi ya pili ya nusu
fainali kombe la shirikisho barani Africa kupigwa tena leo, FUS Rabat dhidi ya
TP Mazembe, saa 5:30 usiku.
Mechi ya kwanza ya nusu fainali TP Mazembe akiwa nyumbani DRC Congo alipata ushindi wa goli 1 – 0 dhidi ya FUS Rabat, sasa Fus Rabat yupo nyumbani kwao Morocco je atapindua matokeo na kwenda fainali ama TP mazembe ataendeleza ushindi na kwenda fainali kwa mara ya pili mfululizo?
Majibu yote tutayapata baada ya dakika 90.Mechi ya kwanza ya nusu fainali TP Mazembe akiwa nyumbani DRC Congo alipata ushindi wa goli 1 – 0 dhidi ya FUS Rabat, sasa Fus Rabat yupo nyumbani kwao Morocco je atapindua matokeo na kwenda fainali ama TP mazembe ataendeleza ushindi na kwenda fainali kwa mara ya pili mfululizo?
Nusu fainali nyingine
ni hapo kesho kati ya
Club
Africain vs Supersport United FC
Millionaire Ads
0 Comment untuk "TP Mazembe vs FUS Rabat, mechi ya kisasi leo, je Mazembe kuweka rekodi?"