Millionaire  Ads

Yanga Chalii CCM Kirumba, mbao yanusa michuano ya kimataifa 2017/2018, yaibanjua Yanga 1 - 0

kama una tangazo lako tafadhali tuwasiliane ili tukutangazie kwa bei nafuu kabisa, DMrutu ni kwa ajili ya watu wote, karibuni sana


Ikicheza kwa tahadhari kubwa mbele ya mashabiki wake lukuki waliokuja kusapoti timu yao, timu ya Mbao FC imetinga Fainali ya michuano ya Kombe la shirikisho Tanzania baada ya kumvua bingwa mtetezi wa kombe hilo Yanga kwa goli la kujifunga Kutokana na mlinzi wake wa kati ‘Dante’ kuunganisha majaro safi toka upande wa kulia.

Kwa Matokeo hayo mbao Fc watamenyana na Simba katika mchezo ambao mshindi wake anaiwakilisha nchi kwenye michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika pia mshindi hulamba Tsh milioni 50.

kama una tangazo lako tafadhali tuwasiliane ili tukutangazie kwa bei nafuu kabisa, DMrutu ni kwa ajili ya watu wote, karibuni sana
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comment untuk "Yanga Chalii CCM Kirumba, mbao yanusa michuano ya kimataifa 2017/2018, yaibanjua Yanga 1 - 0"

Back To Top