Millionaire  Ads

Sheria 6 mpya za FIFA kuhusu Football Zaja



Bodi ya shirikisho la Soka ulimwenguni ‘International Football Association Board (IFAB)’ imependekeza kuongeza baadhi ya vifungu ili kutia ladha kwenye mchezo wa soka Duniani.
Mkurugenzi wa ufundi wa bodi hiyo bwana David Elleray amesema ‘Ni kuhusu kusoma sheria na kuangalia lengo gani kila mmoja hutumikia’
Sheria ni kama ifuatavyo:
1                   Two halves of 30 minutes
Ø Hakuna kupoteza muda, mchezo utasimama pale tu mpira utakapokuwa nje ya mchezo.
2                   Goal of punishment
Ø Kutoa goli badala ya penati kama madhabi yatafanyika katika eneo la penati.
3                   Changes for corner kicks and fouls
Ø Kona na faulo mpigaji anaweza kuucheza tena baada ya kuupiga hata kama mchezaji mwenzake hajaucheza(anaweza kujianzia mwenyewe).
4                   Free-kicks whilst ball is still moving
Ø Mpira wa adhabu upigwe hata kama haujatulia
5                   No injury time
Ø Mpira utamalizika pale tu muda utakapotimia kama mchezo wa rugby.
6                   Penalty, not free-kicks, for back pass
Ø Golikipa akidaka mpira aliorudishiwa na mchezaji wa timu yake ipigwe penati badala ya ‘Indirect free kick’
Sheria zote hizi zitapitiwa kwa mapana yake mapema mwezi march 2018, pale bodi ya FIFA itakapoketi.
Je wewe kama mdau wa soka una maoni gani kuhusu mabadiliko haya ya sheria  


Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Sheria 6 mpya za FIFA kuhusu Football Zaja"

Back To Top