Millionaire  Ads

Farid Mussa aongoza mauaji, Tenerife ikiikandamiza S.I. El Hierro 5 – 0



Mtanzania anaekipiga katika ligi daraja la kwanza nchini Hispania Farid Mussa amecheza mchezo wa kirafiki wa maandalizi ya msimu mpya wa ligi na kuisaidia timu yake kupata ushindi huo.

Magoli ya Tenerife yalifungwa na Juan Carlos alifunga magoli matatu, Víctor Casadesús na lingine lilifungwa na Brian.
Tenerife wakitumia mfumo wa 4-5-1 na farid akitokea upande wa kiungo wa kati kulia.

Kikosi kilikuwa hivi: Galván

Carlos Ruiz, Aitor Sanz, S. Camille,L. Pérez,Javi Alonso,Faridi Musa,Brian Torres,Nadjib,Brian,Víctor Casadesús
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Farid Mussa aongoza mauaji, Tenerife ikiikandamiza S.I. El Hierro 5 – 0"

Back To Top