Mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara ‘wazee wa kimyakimya’ mpaka
sasa wamewasajili wachezaji sita kwa lengo la kutetea kombe lao kwa mara ya 4
mfululizo, na michuano ya kimataifa.
Waliosajiliwa mpaka sasa ni:
Ramadhani Kambwili (Serengeti boys)
Pius Buswita (Mbao FC),
Rostand Youthe (African Lyon),
wowote atatangazwa kuwa mchezaji wa Yanga
na kiungo toka Congo Papy Kabamba Tshishimbi yeye inategemewa wiki ijayo atamwaga wino Jangwani.
Hao ndio wachezaji waliosajiliwa na Yanga mpaka sasa
0 Comment untuk "Je unawajua wachezaji ambao wamesajiliwa na Yanga mpaka sasa?"