Millionaire  Ads

Raphael Daudi Loth amalizana na Yanga Leo Kutua Kambini Moro



Kiungo ambae wapenzi na mashabiki wa yanga walikuwa na shauku ya kuona amemwaga wino jangwani mambo yamekamilika na tayari amefanya hivyo kwa kandarasi ya miaka 2.
Loth ambae alihusishwa kutakiwa na vilab mbalimbali nchini Afrika kusini alihitimisha tetesi hizo jana.
Na leo anajiunga na kambi ya Yanga ambayo ipo Morogoro kwa maandalizi ya ngao ya hisani, ligi kuu na ligi ya mabingwa.

Awali Loth alikitumikia kikosi cha Mbeya City, na kumshawishi kocha wa timu ya Taifa Salum Mayanga kumuita kwenye kikosi chake, na tangu apate nafasi amekuwa mhimili mkubwa katika kikosi hicho cha Stars.
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Raphael Daudi Loth amalizana na Yanga Leo Kutua Kambini Moro"

Back To Top