Millionaire  Ads

OKWI ATUA DAR USIKU , KUSAINI MKATABA NA SIMBA





Mchezaji wa kimataifa waUganda Emmanuel Arnold Okwi amewasili usiku wa kuamkia leo katika Uwanja wa kimataifa wa mwalimu Julius.

Makamu wa rais wa klabu ya Simba Godfrey Nyange Kaburu ni mmoja wa wanasimba waliokuwepo katika uwanja Wa Ndege kumpokea Okwi.


Okwi atakuwa na mazungumzo ya mwisho na Uongozi kabla ya kusaini mkataba wa Miaka Miwili kuitumikia tena Simba katika Msimu wa 2017-2018




Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "OKWI ATUA DAR USIKU , KUSAINI MKATABA NA SIMBA"

Back To Top