Millionaire  Ads

Mbwana Samatta kibaruani leo, kwa mara ya kwanza kwenye ligi na jezi namba 10.


Mtanzania Mbwana Samatta leo, kwa mara ya kwanza kwenye ligi akiwa na jezi namba 10, ataanza kufanya yake kwenye ligi kuu ya Belgium almarufu kama Belgium - First Division A.
Ligi hiyo imeanza rasmi jana na kushudia timu ya Anderlecht ikitoka sare ya bila kufungana na Antwerp.
Muda ni kwa saa za Afrika Mashariki.
Belgium - First Division A July 29
Lokeren vs Club Brugge  19:00
Eupen vs Zulte-Waregem 21:00
Genk vs Waasland-Beveren 21:00

Sporting Charleroi vs Kortrijk 21:30
Millionaire  Ads

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comment untuk "Mbwana Samatta kibaruani leo, kwa mara ya kwanza kwenye ligi na jezi namba 10."

Back To Top